cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,239
Ndio shoss kuelekea mvomero huko nimekunywa sana maziwa mabichi ya wamasai pale mikocheni wami vijana!




hatareeeeh.Ndio shoss kuelekea mvomero huko nimekunywa sana maziwa mabichi ya wamasai pale mikocheni wami vijana!




hatareeeeh.Kabisaaaa.Yeah zenji baadhi ya sehemu ni kutamu,utamani kurudi![]()
Bado upo?Nawewe utupie bana Siku nyingi sijaona selfii yako Brian!!
Shoss mida ya nakedddd unifanyie wepesi sikunyingi sijaona pozi mie 😉😉😘😘!!hatareeeeh.
Mahenge ile milima! Hivi kulikua na mlima ndororo walishawrkaga lami??shoss umenikumbusha Mahenge big boy mmoja alikua anasoma kwiro boys mie niko form 3!
!!





nimeishi sana kota za kwiro boys sec. Mlima ndororo uliwekwa lami shouzzzz. Ndio Mkuu haya weka kwanza nasubiria !!🙇🙇Bado upo?
Mrembooo wa selfika.




Na wewe ni wahuko nini mbna unaijua jua morogoro!





naijua tyuuh, ila sio wa Moro mie.Yaniii tambarare hata mita 200 hazifiki tena pale mjini tu!! Lile gereza wangeweka huko pembeni limechukua nafasi kubwa pale mjini!!Mahengenimeishi sana kota za kwiro boys sec. Mlima ndororo uliwekwa lami shouzzzz.
Ila mahenge hapana, baridi, mawe hadi barabaran lol..
Hakuna kitu, ila choice yangu ni watu wa hizo kada..Kuwa wengine tuna nn![]()







Wacha weeee, nasubiriii mie hapa.Haya basi pita kawaida mkuu naked mida yetu mkuu!! Leo mida yetu Nina vitu konnnkiiiii!!








Brian Spilner tunasubiri mkuu!!🙇🙇Wacha weeee, nasubiriii mie hapa.![]()
Umewahi kuniona nikiwa na kanzu?Ndio Mkuu haya weka kwanza nasubiria !!![]()
Have a good time and enjoy your weekend wapendwa!!
Much love from Antonnia!!
See you later![]()



kucha shougaaaa angu. NikomesheeeeeUkae hapa baadae, nakuwekea za hatareeeee!!!.Shoss mida ya nakedddd unifanyie wepesi sikunyiki sijaona pozi mie!!
🤣🤣🤣😂😂😂 Nimecheka kwanza sijui kwanini!!!🤣🤣!!Umewahi kuniona nikiwa na kanzu?
Nimevamia ubwabwa leo
Usiweke saivi natoka Badae shoss angu!!Ukae hapa baadae, nakuwekea za hatareeeee!!!.
Ofisi za wilaya nijuaga nyumba ya makumbusho,Yaniii tambarare hata mita 200 hazifiki tena pale mjini tu!! Lile gereza wangeweka huko pembeni limechukua nafasi kubwa pale mjini!!Mahenge
Ile milimamilima tu ndio inaboa![]()






, tena ziko kati kati ya mji. Ikulu ndogo. Iko njia ya kwenda Kwiro boys sec, Baadaeeee shougaaaa angu!!!Usiweke saivi natoka Badae shoss angu!!
Brian tunasubiria kanzu mkuu!!
Yani pamekaa vibaya kweli!! Sema yale madini kule tu ndio yamefanya walau paonekane tofauti na hiko Pako kushoto sanaOfisi za wilaya nijuaga nyumba ya makumbusho,, tena ziko kati kati ya mji. Ikulu ndogo. Iko njia ya kwenda Kwiro boys sec,
Mahenge hapana lol