Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hata mimi nilikuwa nakuona tu.i guess...(through comments though)
btw ni ktk huu uzi for the first time nimeweza interact na raia wengi nilikuwa tu nawaona around...
We mpambe nuksi sio??











Sisi kina nani tena??
Karibuni cha usiku halafu baadae tule cha usiku View attachment 1255842
Malizia story.Mzee baba, kuna "nongcun" moja nilienda huko "zhongguo" kama ushawahi sikia mahali panaitwa Changsha, nikakaribishwa chura waliokaangwa kama hivi, wapo bakuli katika round table...
Tunakamilisha UziHivi we Atoto sasa wewe unavyoona na mimi nina picha za kusema kwamba eti mtu asubirie nitume au abembeleze nitume?? Humu zinatakikana picha za watu kama ninyi ambao mnajiremba mnapendeza wengine tunatuma tu ili kukamilisha lengo la uzi!!
sijui umenielewa..najua umenielewa haya tumeni picha basi jamani..





Acha maneno mengi tuma picha. Mie na kujiremba wapi na wapi![]()
NdiwoooKwahiyo auntie huna hata doa?![]()
NdioKwenye ile picha zile lips zako ndivyo zilivyo??

Mie naonaga hayo ndo boraKwa usiku sio ishu Ila mchana ndo naona jau..
Kunukia kimbogamboga siku nzima sio poa
Hayo na parachute yapi bora?
Hutumi picha.
Yabakataa kabisaauwii wenye ngozi kama za mamba yanakubali??