Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Daaaah!!Hamna siyo ubishi ila wewe kaongo sana
Ninyi hamwezi kunihitaji mimi, isipokuwa mimi ndiye ninawahitaji ninyi.
Sananawe ni mpenzi wa ugweche na ndondo??




Nimekununia.nini sasa tena
Hata aibu huoniSana
Mwili haujengwi kwa tofali![]()
#teamvibonge






sijui umenielewa..najua umenielewa haya tumeni picha basi jamani..
Wacha maneno, tuma picha.
Daaaah!!
Acha maneno mengi tuma picha. Mie na kujiremba wapi na wapiHivi we Atoto sasa wewe unavyoona na mimi nina picha za kusema kwamba eti mtu asubirie nitume au abembeleze nitume?? Humu zinatakikana picha za watu kama ninyi ambao mnajiremba mnapendeza wengine tunatuma tu ili kukamilisha lengo la uzi!!
sijui umenielewa..najua umenielewa haya tumeni picha basi jamani..




mfyuuuSana
Mwili haujengwi kwa tofali![]()
#teamvibonge
Ndio.Nimedanganya??
Nimekununia.
Sijui nikufukulie ule uzi![]()
Hutumi picha.Nimekosa nini tena jamani??
@Heaven Sent njoo utupie linkHebu tuone

@Heaven Sent njoo utupie link![]()
Kwahiyo unanifahamu tangu mwanzo?![]()