Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Ulienda wapi mtizame kwanza
Auntie huu mwanya uliutoa wapi?Ndiwooo
Nikiamka kesho View attachment 1255855
Haya tuma.
Kwa wakala.Nikutumie kwa namba yako au unaenda kwa wakala??
Ni kweli.
Huo meiba kwako auntieAuntie huu mwanya uliutoa wapi?
Kivipi?Sawa, ila hufananii kabisa.
Auntie mie sina mwanya bali mianyaHuo meiba kwako auntie

kila baada ya jino kuna nafasiHahahaahahahYes yes ,
No job , no food.
Ni mwendo wa kutohoa tu![]()
Hebu tuma pichajooooooh
Ni kweli ana kasauti kadogo.
Hahahaha comment tu mzee baba usijibanie,, mimi sijui kama nitaweza kujipa likizo JF maana kwa sasa siingii mitandao mingine sababu ya JF na whatsapp kidogo
Kwa wakala.
Auntie mie sina mwanya bali mianyakila baada ya jino kuna nafasi








