Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,203
Kwani hata ukiwepo huwa unaona?Kasema hana
Kwani hata ukiwepo huwa unaona?Kasema hana
Yapi etiunacheka nini wakati ndiyo mambo zako hizo??
Kwangu Ina mwishoelimu haina mwisho, hata usome hadi nyuma ya kitabu
Wa Kyela.
Anatuvizia hasa MimiUmeona eenh?? Na mie nilitaka niseme hivyo hivyo yaani huyu huwa anatuvizia akiona kimya anatupia tukianza kuja anafuta!!

Jicho kama langu kabisaa



ukuje huku sasa na wewe!!
Dogo usinichanganyie mafile humu![]()
Woooi!! Baki na sababu yakoHahah...haitoshi

Kwangu Ina mwisho
linaona mbali saanaJicho hilo bibie mbona tunaanza kuleteana tabu daah hilo litakua linaona hadi kesho


Cole tupia bwana, mbona unatufanyia hivyo?
Woooi!! Baki na sababu yako![]()



kule kwenye cv za kina Msabila au?? Daah apumzike kwa amani!!
elimu haina mwisho, hata usome hadi nyuma ya kitabu
Kauli za mabaharia hiziMmmmh hilo jicho linaitaaaa
napo utasema kamaliza...
Hivi alikufa??kule kwenye cv za kina Msabila au?? Daah apumzike kwa amani!!
duh mkuu akil yako ni gani ?huwez jiuliza jf nimeingia na cm ipi?Mkuu hizo hela si uzitumie kubadilisha hicho kiswaswadu hapo??