Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na wewe umeanza maneno ya KIPASHIKUNA umeanza kuwa kama wale wengine!!WHAT IS KIMBONDE?sijakuelewa hapo kabsa CAUSE meme sijakulia USWAHILINI naomba kueleweshwa TAFADHALI.
Duh Cuzo...si niliskia Kibonde kuna Shule ya Kiingereza jamani..
Kumbe ni Uswahilini??
Cuzo wewe si ni WA Dar eeh?
Unaonekana tu yaani.
 
Mnaselfika au kutafuta madanga!!??
Aiseeehhh!! 🙌🙌🙌🙌🙌
Sorry nilikosea njia mkuu!!😉😉🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️!!
 
How I wish nikujibu accordingly 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Endelea na uliyemqoute
Wee nilidandia gari kwa mbele Endelea namtu wako 😉😉 Sitaki maneno na mtu mie hahahaaa! Sema nini Ukipata Mtu anahitaji danga fanya kunistua uwiii! cocastic shoss tumevamiwa hukuuu!!
 
Back
Top Bottom