Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
Vipaumbele wasio na ajira mamaa hata kama kupata ni wachache sana yani wachacheee!!Nyie walimu mtakosa kweli hizo nafasi jmn.
Nasubiria Selfii nipate booster kipenzi


Vipaumbele wasio na ajira mamaa hata kama kupata ni wachache sana yani wachacheee!!Nyie walimu mtakosa kweli hizo nafasi jmn.


Nasubiria hapa kipenzi!!
Msalimie sana *******
nimeshamwambia tyr.Nimeshamwambia tyrNasubiria hapa kipenzi!!
Msalimie sana *******

Vipaumbele wasio na ajira mamaa hata kama kupata ni wachache sana yani wachacheee!!
Nasubiria Selfii nipate booster kipenzi![]()

ni hatariiiHilo pozi la tabasamu sasa!
So hoooottt!!!

camera man alikuwa ananibatasamisha 

Hahahhahahahha...utampa taarifa. Halafuu uwaambie kbs nimepita uchi
![]()
Yaniii ... hakii tabasamisha lilikuingia kisawasawa!!camera man alikuwa ananibatasamisha
![]()
Santee kipenziii. Jmmc hii imekuwa ya kichovu Sanaa.Hahahhahahahha...
watakuta manyoya naona wapo bize na weekend!!!
Walai jumamosi yangu imekua njema sasa ngoja niamke kwanza!!
Santo sana mamy
Ahahah haswaaaa sweetheartYaniii ... hakii tabasamisha lilikuingia kisawasawa!!
Debora Paul Laswai
Nipo shoss angu sensa wanenila kiboga asubuhi kweupeeee!!!!!
Haya nilikua nimepoa kweri kweri naomba nichangamshe na selfii moja mattatta kama kawaida yako shoss akeee!!





usinambie kwenye sensa umetupwa nje???? Ex epired bana! Unammisi ili mgundue nini 😉😉??
Tume mmic mnoooo Mr vochaa, akujeee bhana hapa.
Aisha selfika 🙃Debora Paul Laswai
Sensa Wamenipiga kipepss cha meno shoss angu hahahahaaaa!!





shougaaaa angu acha uongo, wew hauwezi kosa hata lol.Kibao tumepigwa Cha mbavuuuuu !!Acha tu shoss akee !!Fanya kunipoza na selfii yenye poz moja matata kama kawaida yako kipenzi !!usinambie kwenye sensa umetupwa nje????
Acha uongo shougaaa angu lol.