4-0 😂Coca mwenyewe huyo
Nikuselfika haupo ukija ndo unaomba hebu selfka kidogo bas namm nirudieYupo busy kwenye ule uzi! 😂
Aunt selfika basShangaziiiii,![]()
Kile kiwanja cha moto chief maana si kwa misambwanda ile(fahari ya macho)Kwa Anna kulibamba kinoma noma mkuu
T 1990 ELY atatoa ushuhuda hapa pale ni habari nyingine chief

Aliniambia eti ni man city yeye
My country pipo
Jamani huko mjini Facebook Kuna muda kunachekeshaView attachment 2303628View attachment 2303629View attachment 2303630View attachment 2303631View attachment 2303632View attachment 2303633
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app




kuna kauli hapo aliwahi kuisema mtu kwangu, nimfikishie mama. Mtoto mzur sana Sema kashawahiwa na Jamaa wa gym Ntiluseswa
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app






😂😂Unatafuta radhi 😂😂Si ujichubue nawee, yaan hatukuoni hadi ucheke ndo tunaona meno.![]()
Kashaselfika na kijora bdo wewe tena imekaa sanaAunt selfika bas
Mwanaume unakaa unaangalia juakali 😂😂😂
Shemela kumbe ni Chelsea piga kelele kwa cocastic na Antonnia ake hakika mmepata mume
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app






khaaaah, sasa huyu ntamuonea sana, mie Man City.4-0 🤣😹Upoooooo????
Felix alikula wote mama wa kambo na mdogo wake.Ile ya chalii wa Thomas
Kumla mamdo wake
Nayo sio poa





