cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Nasubir auntWait.![]()
Unatafuta radhi
![]()





nyie nimecheka mnoo uwiiiiih.
Poker anasema wewe ni ChelseaNimekujaaa mama wa matashtiti.![]()
Nilishinda 1 - 0 dhidi ya Bayern, Haaland aliweka kitu 1 matata sanaa, huu mwaka tusiponyanyua kwapa la UEFA, bas hatutachukua tena.






Hapanaaaaaa!!!!Poker anasema wewe ni Chelsea
Kombe letu hiloNilishinda 1 - 0 dhidi ya Bayern, Haaland aliweka kitu 1 matata sanaa, huu mwaka tusiponyanyua kwapa la UEFA, bas hatutachukua tena.
![]()




😂Mkorogo wa buku utakuwa wa congo huo😂nyie nimecheka mnoo uwiiiiih.
Watu wanajichubua na mkorogo wa mafungu, akuuuh sitakiiii.
Huyo ni Chelsea sema kahama kahamia mama sita!Aliniambia eti ni man city yeye
baada ya kuona city anakimbizaHuyo ni Chelsea sema kahama kahamia mama sita!
Heeeeeeee jaman😆😆😆Haha mbele ya mshiko huwa hamchomoi...tayari amekuwa hana baya![]()
Emu selfika aunt happily married with two kidsHeeeeeeee jaman😆😆😆
Ni kwel hana baya na amenyooka kama rula😆😆😆
Nilikuwa na likizoMwanaume unakaa unaangalia juakali
Hii yalaiti vipi? Haha



Ningeselfika shida I’m divorced now with two lonely kids aunt yangu🥲Emu selfika aunt happily married with two kids