Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimecheka. Kuna snap unatoka kama mdoli sijui
Eehhh mama pastaa jana madogo wamekuja kukusalimia wananiuliza mamdo simu yako ina snap??? mie natoa macho tu snap ndio kidudu ganii hahaha wakaniambia weeee mamdo ushazeeka tunabadilishana simu uchukue hiki ki tekco batan utupe hiooo ...yani hujui hata snap huna snap uwiiiiii mamdo ushakua wa kijijiniiii!!!
Wakadownload snap basi Simu naletewa ikiita tu nyieeee🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!
 
Eehhh mama pastaa jana madogo wamekuja kukusalimia wananiuliza mamdo simu yako ina snap??? mie natoa macho tu snap ndio kidudu ganii hahaha wakaniambia weeee mamdo ushazeeka tunabadilishana simu uchukue hiki ki tekco batan utupe hiooo ...yani hujui hata snap huna snap uwiiiiii mamdo ushakua wa kijijiniiii!!!
Wakadownload snap basi Simu naletewa ikiita tu nyieeee🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!
Nimecheka kama mazuri; wacha madogo wakuchangamshe. Kuna filters kwa kweli hapana; unatoka ka-toy, mara uso mwekunduu, eyelashes kama brush
 
Madam mwenyewe, kumbe pacha wa kidoti/jokate
Kidot wapi best mambo ya snap hayooo!!
Hakiii snap imenishinda tabiaaa!! Ukitaka Hadi miwani inakuvalisha nyieeee!!
Ukitaka na shedo inakupakaaa
Na hela ma dolari inakuwekea
Hata uwe na mapele ajeee inakumake up unakua softiiiiii nyieee!!
Na kope inakubaandika Jamani jamani !!
 
Kidot wapi best mambo ya snap hayooo!!
Hakiii snap imenishinda tabiaaa!! Ukitaka Hadi miwani inakuvalisha nyieeee🙌🙌🙌!!
Ukitaka na shedi inakupakaaa🤣🤣🤣🤣
Na hela ma dolari inakuwekea
Hata uwe na mapele ajeee inakumake up unakua softiiiiii nyieee🙌🙌🙌🙌!!😂🤣🤣🤣
Na kope inakubaandika Jamani jamani 🤣🤣🤣😂😂😂!!
Siku hizi sio ladies and gentlemen; ni "filters and gentlemen"
 
Kaisiki umale shule nikutwala sijui nimepatia aliimba saida. uko vizuri Madam ningekuwa staff kwenu lesson plan yako ningeandaa Mimi daily sio kwa mapicha hayo.
Kaisikiiiii!! 😂😂😂🤣 Hahahaaa.. kila Siku nahombana na Mkuu kuandaa lesson plan kama ulijuaaaaa!! Aisee njoo tu uniandalie best!!
 
Back
Top Bottom