Nipige busu.Yaani wewe,
Sijui nikuibukie na kipigo🤔
Chagua,nikupige wapi?
Chini ya kitovuYaani wewe,
Sijui nikuibukie na kipigo
Chagua,nikupige wapi?
Acha tu mamiiii!! Shida hiziiiii!!🤔🤔🤔Wacha😍
Naona Bwana Mungu yupo upande wako
Ila mkuu we ni mzungu aisee
Nambiee shougaaaa angu kakosea nn?? Tumnunie wotee,Weee mie leo mr vocha simsemeshiiiii !! Nikinuna nimenunaaasichekiiii!!
Wakutengajeeee??Unataka wahuni wanitenge eti![]()






Hahah!Nipige busu.
Nakwambia shosss angu wewe teinaaaaa sema jingine 😘😘😘😘 ila uzuri mwenyewe tayari anajuaaa!!!! !Nambiee shougaaaa angu kakosea nn?? Tumnunie wotee,
Tena tusichezee naee. Nambieee shouzzzzzzz kakosea nn Mr vocha, na mie nimnunie.
Chini ya kitovu?Chini ya kitovu
Itapendeza zaidi
Aaarrh hayo mambo ya list Mie hapana kabisaaa!! Acha nipambane natabu zangu hukuuu tu ila sio foleni ya rejareja mie Masikini jeuriii
!!!!




hapo kwa foleniiii, unapangwa ki nambaa tena ventric uwiiihMambo yako ni bomba.Acha tu mamiiii!! Shida hiziiiii!!![]()
Ndo uniambie harakaaa, maana mie kuwadi, msutaji, mfundaji, mkungaji, cna mbambamba, nimenyookaa km rulaaaa.Nakwambia shosss angu wewe teinaaaaa sema jingineila uzuri mwenyewe tayari anajuaaa!!!! !








Ngumi tena 🏃🏃🏃Hahah!
Namaanisha kukupiga ngumi
Watakupasua weweWakutengajeeee??
Wahuni au vijana wa hovyooo???

,,, unajua nn kuhusu wahuni wakat unapenda majentomaniBondia kutoka nyanda za juu kusini..Ngumi tena 🏃🏃🏃
We wa Mara nini?