Yeah zile mara nyingi ni subways au underground na vichwa vyake na mabehewa yake siyo kama haya yanayoyumbayumba,, but itakuwa haupendi kusafiri tu kwa mtu anayependa kusafiri 15 days from Dar to Capetown is just like a minute ila hiyo nauli yake sasa ni ada ya IST tena kwa mwanafunzi wa chekechea