mkuu smartphone ni smartphone na kiswaswasu ni kiswaswadu,, mie nimekuambia ubadilishe hicho kinachoonekana hapo siyo hiyo uliyotumia kuingia nayo JF namna gani vipi bob??
Chiiiiii hivi ndiyo uliniambia kuwa nimefanya kazi pale jumba jeupe?? La wapi Magogoni au Chamwino?? Yaani wewe kazi za watu kama kina FaizaFoxy ndiyo unakuja kutupachika sisi