Inategemea na vyuo na kada husika
Kwa kada za ualimu, udaktari , nursing , engineering na pharmacy field ni muhimu sana .. inabidi ufanye practical uone kazi inavyoenda .
Ila kwa vyuo vingine hawafuatili kabisa
Unaweza usiende ukajizazia tu mwenyewe
Uandike report ya uongo
Ila vingine wapo strictly mno mfano Mzumbe field ni miezi minne hadi unawazoea wafanyakazi huko
Ukikosa utaekewa dash maana supervisor lazima apite