Coet, conas, coaf, school of law, koteee sura za baba yaani pisi ni za kuhesabu,,na hzo zikienda cohu zinaonekana za mwisho
Wale wanaosoma political science, sijui external affairs,, udbs, cohu, ndo kuna pisi,,, nyie wa kozi ngumu hakuna pisi
Sent from my LND-L29 using
JamiiForums mobile app