Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwamba sisi tunaoandikia kulia kutufanyaje ukorofi[emoji17][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangazi mie utaniweza, kuna mtu aliwahi nambia, "wee siku ya kufa, malaika mtoa roho utampa heka heka hadi atachoka mwenyewe na kuamua kukuacha"

Watu wana dhambiii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangazi mie utaniweza, kuna mtu aliwahi nambia, "wee siku ya kufa, malaika mtoa roho utampa heka heka hadi atachoka mwenyewe na kuamua kukuacha"

Watu wana dhambiii.
😂Atauliza ndo huyu niloambiwa au nimekosea
 
Tena ntakufurusha urudi kwenu huko kijijini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au siendi nawee Ulayaa, eeeh nshapata cha kukutesea, Ulayaa huendi na mie.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu nilishakutafutia chuo kabisa Marekani ujue
Hiki kitakufaa sana
 

Attachments

  • 20220710_122529.jpg
    20220710_122529.jpg
    155.6 KB · Views: 6
Nyie nimemiss kuogelea mto Ruvuma, na kuvua samaki.
Sijawahi kukua, nawakusanya watoto nazama nao mtoni tunavua samaki wee hadi chwaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sitaki mie,nusu nifie kwenye maji nilipoteza ramani,nienda kwenye kina kirefu. Nilikunywa vikombe vya kutosha,

Nikiendaga ziwani nakaa mbali na maji[emoji23]
 
Back
Top Bottom