Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwamba wale wadada wa kwenye ndege wapo tofauti gani nawe?
Napo naweza yaani usafiri wowote ule ili mradi tu niwe nasafiri ila najua kuwa air hostess itaendelea kubaki kuwa ndoto tu sababu ya sura na umbo kwahiyo labda meli au treni lakini basi hapana
 
haki vile natamanigi sana hiyo scene inikute siku moja ila tu isisababishe ajali,, tena nikiwa ndani ya dude moja la uarabuni kati ya emirates au etihad siyo hutu tupanzi twetu..
Natamani ningekuwa na huo uwezo nipandage zangu ndege
.
Kwa hiyo wewe unafurahia kushindwa kutua au sio
..Kuna madogo akili zao za bangi Sana
 
Mimi nimepaelewa zaidi hapo uliposema
wewe kusafiri kwako kote na ndege huja................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…