Kuna huyo nilimpataga, khaaaah niliona mwisho utakua mbayaa, yaan alikua ananitoa ktk asili ya kwetu kabisaa, nkawa naelekea chugani, sasa na hii sauti ndo nikiweka lafudhi na neno la bangerz,
Full vichekesho,
.
Sema tyuuh wanapenda kweli, afu wako real, hadi nlkua najistukia mwenyewe sasa,
uzungu mwingi afu Bongo.