Ile siku niliamua kuingia humu ndiyo Maana.
Nikiamua kukaa humu nakaa na nnashawishi watu watume picha na wanatuma.
Nikiamua kupumzika napumzika kweli.
Ngoja nijipe likizo angalau hata wiki
Itakuwa ulipanda ile ya kwetu ordinary maana express ya wazambia huwa inapita mbeya jioni kabla jua halijazama,, mimi kuna baadhi ya vituo nimevishika hasa vya morogoro..
Hahahaha sikimbii kitonga ila mie huwa napenda safari za kukaa muda mrefu njiani
Itakuwa ulipanda ile ya kwetu ordinary maana express ya wazambia huwa inapita mbeya jioni kabla jua halijazama,, mimi kuna baadhi ya vituo nimevishika hasa vya morogoro..
Hahahaha sikimbii kitonga ila mie huwa napenda safari za kukaa muda mrefu njiani
Ile siku niliamua kuingia humu ndiyo Maana.
Nikiamua kukaa humu nakaa na nnashawishi watu watume picha na wanatuma.
Nikiamua kupumzika napumzika kweli.
Ngoja nijipe likizo angalau hata wiki