Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,514
- 18,987
Lile vumbi huwa wanachanganya na maji alafu unapaka unakaa nusu saa unakunywa maji lita nzima yajayo yanafurahisha!Pengine anataka kujua ufanisi wake🤣🤣
Lile vumbi huwa wanachanganya na maji alafu unapaka unakaa nusu saa unakunywa maji lita nzima yajayo yanafurahisha!Pengine anataka kujua ufanisi wake🤣🤣
Hi Cocastic I miss you darlingHellow selfikazzzzzzzz!!!!!
![]()
Wanapakazia kwenye kichwa 🤣🤣🤣Mnalamba?
🤣🤣Wanapakazia kwenye kichwa 🤣🤣🤣
Oooh kumbe!!! Sasa au basiWanapakazia kwenye kichwa![]()

AsanteWanapaka. Sina uhakika kuhusu ufanisi wake jirani.
Ngoja nikupe
Wanapaka kwa mkunyenge, afu wanakaa km muda fulan, ndo wanaingia mchezoni, walambe unataka tumbo livimbe na kuumuka.Kulamba hilo vumbi au wanatumiaje?








Niliona humu mtu kaandika..Oooh kumbe!!! Sasa au basi![]()
Mic u dearest, now nipooo sanaaHi Cocastic I miss you darling
Siriazi nilikuwa nasikiaga tu wala sijawahi kuliona hilo kwanza leo kwa picha,Pengine anataka kujua ufanisi wake![]()
🤣🤣Siriazi nilikuwa nasikiaga tu wala sijawahi kuliona hilo kwanza leo kwa picha,
Nataka kujua yeah,anapaka inafanyaje kazi?? Si inakuwa kwenye ngozi tu?
Sass Kama inakufa ganzi anajichosha mwenyewe,Niliona humu mtu kaandika..
Wanapakaza pale then inakufa ganzi…
Anamkomoa mtoto wa watu hapo weeee maana ye kwa wakati huo atachelewa kufika aendako

Unacheka

Kumbe!
Nilikuwa sijuagi hilo vumbi,,,,uwaga mnalamba?





Kuna kudhani kusuguana sana ndio kuridhiana..ndipo linapozuka swala la hizo zana!...Sass Kama inakufa ganzi anajichosha mwenyewe,
Kuna masai alisema hilo vumbi halina kitu but mawazo yako vile unayaweka kusimamia ukucha inakuwa hivyo,
Hapo sikujuaga nilijua wanalamba![]()
Mkuu...habari. mpe ufahamu binti
Anko una ujinga mwingi
Jirani, wanapaka vumbi?! Kwenye nini?Wanapaka. Sina uhakika kuhusu ufanisi wake jirani.
🤣🤣 wanajichosha sana tu, na sijui hata kama uwa wanafaidi..Sass Kama inakufa ganzi anajichosha mwenyewe,
Kuna masai alisema hilo vumbi halina kitu but mawazo yako vile unayaweka kusimamia ukucha inakuwa hivyo,
Hapo sikujuaga nilijua wanalamba![]()
Limejibiwa hapo juu jirani..Jirani, wanapaka vumbi?! Kwenye nini?