CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Amen

Amen

😭😭😭😭😭😭Hapana mr Vocha mie jimbo liko closed 😉! Hata lingekua wazi nishasemaga Humu hekaheka zenu siwawezi kabisa mie !! 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@Saint AnneWengi tu mvona Singo but occupied
Na wengine married but singo!!
wengine Singo but married
Yani Tafrani tupu!!!
Wacha tuendelee kuselfika sie!!

Tulia weweNeno toxic
Limekufanya ukomenti
Punguza makasiriko upae mbinguni

Marahaba mama junia
AsanteMarahaba mama junia
Karibu tuselfike
Huyu Junia ndo kaanza utundu mapema hivi😅😅😅😅 mwambie uncle atamchapa
Mkubalie tu uncle wangu yani utafurai, utaenjo..... Good morning ccy AntonniaHapana mr Vocha mie jimbo liko closed! Hata lingekua wazi nishasemaga Humu hekaheka zenu siwawezi kabisa mie !!
![]()
Huyo mke wa wazirAfadhali na mshenga nimepata
Ila mshenga uliniahidi nisubiri dada aachike
Ndo huyu mkuu?
Huyo complicated yaniBoss lady na wewe jimbo liko wazi nitume mshenga??
Mshenga tayari nishampata brother Carrasco putin
Ww danganya tu ukose fursaHapana mr Vocha mie jimbo liko closed! Hata lingekua wazi nishasemaga Humu hekaheka zenu siwawezi kabisa mie !!
![]()
Ndio ashaipasua..tukawa tunamwambia aache,akajitupa chini.Huyu Junia ndo kaanza utundu mapema hivimwambie uncle atamchapa
Nikose tu kwa Amani kabisa kubwa lao!!!! Sitakiiiiii!!
Utak kubembelezwaNikose tu kwa Amani kabisa kubwa lao!!!! Sitakiiiiii!!
Ndio Sitaki kubwa lao!! Acha wawabembeleze wengine tu mie hapana!