Selfika na JF: Snap it. Show it

yaan wee acha tyuuh.
Ila duniani watu wagomvi, nacheka tsup, kuna post nimeweka watu wanavyomiminika kuuliza

Hii post kesho naifuta kabla wazazi hawajaiona. Itakua balaa.
we iache wakiona sio kesi,
 
. Wengine washatunga yao
 
. Wengine washatunga yao
nakuambia watu nimewa suprise leo sikukuu.
Kuna huyu M1 anasemaje, kwani dunia ina siri? Iko siku utampost kabisaa, na tunasubiri kumjua. Huu mwanzo mbna, siri iko karibu kuwa hadharani.

,hawajui mie nawarusha roho, ila watu wambea, wanajazana kuuliza kumjua mtoto wa mama mkwe, akati mie ni mtawaa.
 
Mtawa wa st peramiho


Hapo hawalali,wanaitana kabisa
 
Mtawa wa st peramiho


Hapo hawalali,wanaitana kabisa
yaan hapa cna mbavu, watu wana reply nashindwa hata niijibu ipi,

Kuna m1 kanichekesha, eti "kumekuchaaa hayawi hayawi, sasa yamekua, Kwan mapenzi yana siri, tena aongeze ili tumjue na sie khaa,tumechoka kuwa na tetesi na duku duku"

Kesho chuo nitakua gumzo,naon class itakua kunijadili mie tyuh.
Ila mie nna heka heka.
 
wenzio wanasubiri umwage mchele


Mtoto wa mama mkwa aongeze nasaongeze nasema aongeze
 
wenzio wanasubiri umwage mchele


Mtoto wa mama mkwa aongeze nasaongeze nasema aongeze
wallah leo nimeamini binadamu wanakaa vitu moyoni, yaan hadi tetesi na duku duku wanazo kabisaa, ila mwenyewe sijui, wananichora tyuuh.

Nshaifuta status, maana hawakawii ku screenshot, wabongo hawajambo kwa ubuyuu. Leo nimejua kuwarusha roho.
 
sipendi raia wanao screenshot status za wenzao na kuziweka status kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…