Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,346
- 17,669
Weka maungio hapo kati namba ziweze kuhamaEbu fanya kuniwezesha basi
Hebu nizione, mama yangu alikuwaga na kamoja nilikuwa nakapendaaaMimi ninazo mbili yaani nazichukia japo rafiki zangu wanazipenda![]()

Auntie ebu acha kunijaza basiInaendana na mwili vizuri kabisa.
Kati wapi ukoWeka maungio hapo kati namba ziweze kuhama
Za utajiriMimi ninazo mbili yaani nazichukia japo rafiki zangu wanazipenda![]()
😁😁😁😁Sijui zimeotaje sielewi, watu wananambia ukizinyoa zinajaa naogopaHebu nizione, mama yangu slikuwaga na kamoja nilikuwa nakapendaaa![]()
Kwa sababu wanafuta
Anigawie nini auntie
Uwongo maneno ya walimwengu 😁😁😁Za utajiri
Asante sanaUna shingo nzuri.

Yaani tuwili tu unataka unyoeSijui zimeotaje sielewi, watu wananambia ukizinyoa zinajaa naogopa



Una shingo nzuri.
Tatizo sizipendi mnooYaani tuwili tu unataka unyoe![]()
Mimi ukiona nimetupia picha yangu humu sio akili yangu inakuwa nguvu ya heineken ujue
Mkwe unaongea na nani?Hahahaaa...
Mengine mazuri mtasema mkionana piemu huko..![]()