Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuringishia naweeh,
Ndo utoto huo wakikua wataacha,

Kama nilivyo mie siwezi ringishia eti na date na babe ana biashara,kazi,pesa,gari na majumba wakati hazinihusu,

Unaringisha na haujawahi ulizwa idea yako ya biashara ni ipi?? na upewe pesa ngapi uanzishe business


Unaishia kutembelea matako na kuulizwa utatakula chipsi kuku au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…