Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Hahahaha, mie ndio wa mwanzo mwanzoYangu mbona nshaitupia... Bado yakwako tu
Zigo la kuvunja chaga.

Hadi kiama.Kwamba auntie na wewe unabisha![]()
Sijaziona, ni tag basiZangu zimekaa sana humu
Nikasafishe macho mkwe, nami nipandepo hata kandegeAmerica ukafanye nini mom in law ?

Sasa auntie mpaka wewe ukibisha nitakuwa mgeni wa nani mimiHadi kiama.


Too far to wait mkweeeWiki ijayo.
Kabla hujafuta hii gauni nimeipenda mno hapo kifuani iko vipi fashion yake
Snap it show it![]()
Sasa huyu ndio wewe au?
Fanya fanya hapo utupiemo tena
Akikugawia auntie usinisahau na mimiKwani lote hilo lako mama? Nigawie jamani![]()
HahahahaWeka boss wangu
Mimi ukiona nimetupia picha yangu humu sio akili yangu inakuwa nguvu ya heineken ujueFanya fanya hapo utupiemo tena