Waseme
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,611
- 4,119
Kwa naniliuNa mie ulivyoni 😏 niende nikaseme wapi?
nani yule aaargh sijui anakula nini jamani jina limenitoka😀
Kwa naniliuNa mie ulivyoni 😏 niende nikaseme wapi?
Shangazi usinifanyie hivyo umepotea sanaNAKAZIA![]()
Yupi 🤣🤣Kwa naniliu
nani yule aaargh sijui anakula nini jamani jina limenitoka😀
Dogo hummudu nimegunduaKwa hiyo na wewe unahisi kuna kitu nataka kukunyima?😜 Hiyo ni misemo ya vijana
Nakupa heshima yako mkuu, unapotea sana uwe una like hata post za 2018 huko kama Mideko tuwe tunakuona
Huyo dogo dawa yake ndogo tu
Jiamini MwanaumeNAKAZIA![]()
Vijiwe vyote yaani ni multipurposeYupi 🤣🤣
Wa kijiwe kipi?
Kumbe uko busy kutaka kuwahadaa Wajukuu zangu eeh?Eti posa
Muoaji yupo wapi kwanza![]()
Kumbuka jina basiVijiwe vyote yaani ni multipurpose
Smatifone🏃Kumbuka jina basi
😂😂😂😂 kwani si tulishakubaliana bangi hamna kuvuta tena? We imekuwaje leo!!!?Smatifone🏃
Shida tu mdogo wangu😂😂😂😂 kwani si tulishakubaliana bangi hamna kuvuta tena? We imekuwaje leo!!!?
Marahaba mtoto mzuri 😘 ila una raha sana 😁😁 bed mpaka dk hii?
Kheee kazi 😂😂 basi ngoja familia tufanye utaratibu wa kukuamishaShida tu mdogo wangu
sober house ulonipeleka wako kibiashara sio kutusaidia warahibu😜
So leo nimeamka na mbichi kabisa sio ile kavu
Kheee kazi 😂😂 basi ngoja familia tufanye utaratibu wa kukuamishaHuo mchango ebu tuma kwa no hii nichome kanyamq hapq chapu🤗
Hako kamchango tuma kwa no hii nichome nyama chapu🤗Kheee kazi 😂😂 basi ngoja familia tufanye utaratibu wa kukuamisha
Kheee kazi 😂😂 basi ngoja familia tufanye utaratibu wa kukuamisha
Emu huko 🤣Hako kamchango tuma kwa no hii nichome nyama chapu🤗
Shangazi usinifanyie hivyo umepotea sana
Nibariki japo na kaselfie ka mchongo
You are missed

