Voda ni wezi hatareee, niliwekaga buku 2, eti ika katwa, afu sasa sikua na deni wala sikuwahi kopa, nlishangaa, kupiga cm kwa wateja naambiwa kuna huduma niliungwa automatically baada ya kusajiri, khaaaah
Voda ni wezi hatareee, niliwekaga buku 2, eti ika katwa, afu sasa sikua na deni wala sikuwahi kopa, nlishangaa, kupiga cm kwa wateja naambiwa kuna huduma niliungwa automatically baada ya kusajiri, khaaaah