wakuchome na moto kabisa ππUmbea hauna maana kabisaa, kuingilia mapenzi ya watu, leo nasuuzwa huku, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tsup kumenogaa, yaan mie wa kuchambwa hivi na sijibu kitu. Uwiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huenda Msigwa ndo anawafanyia wachart huku hawajijui. WoiiiiiihHiyo ilikuwa makambako__mbeya yaani si unaona dereva anachart hapo huku gari inaenda yenyewe,,halafu wanamsingizia msigwa[emoji23]
Jeuri tunapewa na vijana wenzenu ujue, wale wa kuitwa Big boysππWanatuokoa wapendwa wao sio nyie jeuri kabisa ππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si ndo ulete hizo kuni. Au watumie umeme au Gas?wakuchome na moto kabisa [emoji143][emoji143]
Hahah ajiandae [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hapa nasubiri amalize, nipokee mie.
Namuacha atapike yote, nikianza kumuosha namtakatisha haswaaah.
Tuna namba ya songesha, ununue gas ya mihan wakulipue nayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si ndo ulete hizo kuni. Au watumie umeme au Gas?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu hapa hata Co umbea, ni vile nilingilia penzi la watu, mie niliombwa ushauri, kosa langu nn sasa.Hahah ajiandae [emoji23][emoji23]
Mimi umbeya naupenda kwa mbali sipendi kusutwa .
Ah pole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu hapa hata Co umbea, ni vile nilingilia penzi la watu, mie niliombwa ushauri, kosa langu nn sasa.
Ila watu daaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Voda ni wezi hatareee, niliwekaga buku 2, eti ika katwa, afu sasa sikua na deni wala sikuwahi kopa, nlishangaa, kupiga cm kwa wateja naambiwa kuna huduma niliungwa automatically baada ya kusajiri, khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuna namba ya songesha, ununue gas ya mihan wakulipue nayo
ππππ wapenzi ukikuta wanapiga chonganisha zaidi sio ujidai kuamuaAh pole
Mambo ya mapenzi sio kabisa ni ya kuachia wenyewe ... Watu wamegombana leo kesho hao wamepatana .
Kabisaaa nimejifunzaaa yaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ah pole
Mambo ya mapenzi sio kabisa ni ya kuachia wenyewe ... Watu wamegombana leo kesho hao wamepatana .
So leo wapi sasa πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Voda ni wezi hatareee, niliwekaga buku 2, eti ika katwa, afu sasa sikua na deni wala sikuwahi kopa, nlishangaa, kupiga cm kwa wateja naambiwa kuna huduma niliungwa automatically baada ya kusajiri, khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wapenzi ukikuta wanapiga chonganisha zaidi sio ujidai kuamua
wapenzi hawagombanagi huwa wanazinguana tu.. akili kichwani[emoji23]
Hakika uncle
Acha tu watu wakipenda wanasamehana kiurahisi
Kabisaaa nimejifunzaaa yaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sirudii tena.
Sahihi aiseewapenzi hawagombanagi huwa wanazinguana tu.. akili kichwani
mnakaaje bila uchokozi.. ukiona hakuna uchokozi wala ushari.. tayari yamekufa hayo ππSahihi aisee
Kwa hiyo wanapimana tu hapo [emoji23]
Viuchokozi haviishi
Nipo zangu library, nabukua tyuuh.So leo wapi sasa [emoji6][emoji6][emoji6]
Unasoma kitabu gani ? au unasoma madesaNipo zangu library, nabukua tyuuh.
Kipanga cocie hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi usiku tumepiga story wee na ushauri juu, tena alipiga mwenyewe, leo nachambwaaaah, ila mapenzi ni nyokoooooh.Ah ile umempa tu ushauri huyo
Kesho hao unawaona pamoja .