COET dah! Basi njoo maji Rwegasira πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitaki cafe hapo, njoo venue ya COET.
kingine chemba kule π¬π¬Mmepataaaaaa!!! Kingine π??
Kumbe nawee umooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeah , hali ya hewa nzuri kweli .
Ooh hapo kumsikilizisha tu , taratibu huku ukiandaa snacks jikoni [emoji23].
tamu sanaaNapenda sana sambusaπ
Sema hapa kule vocha tu ππππ€£π€£π€£π!kingine chemba kule π¬π¬
πππ watu wata desaaSema hapa kule vocha tu ππππ€£π€£π€£π!
Jirani Safiiii sana...Uwe usiku wa baraka kwakoWishing you a wonderful and an enjoyable night guys!!
See you tomorrow π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄π΄
Siku akiondoka mama, ntakuwa uchi tena uchi haswaa.Hakuna kiumbe wa muhimu hapa duniani kama mama na akija kuondoka aisee muziki wake si wa kitoto.
It has been 5 yrs tangu mama aondoke lakini namba yake nishashindwa hata kuifuta. Kuna siku mambo yakinielemea huwa naiangalia tu natamani kweli niipige ili niisikie ile sauti tamu ya kizee "SYB walaga wane (kitinda mimba wangu) Ε«lΔ«mhola. Ng'wamayΕ«?"....and I would pay everything to hear that angelic voice again lakini ndo hivyo...kimyaaa cha milele!
Yes. Call your moms please. Tell them how you love and appreciate them...and help them whenever possible.....[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Na kwako pia sports ladyWishing you a wonderful and an enjoyable night guys!!
See you tomorrow [emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
Pole jirani, Mungu akuponyeππ
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Pole kitinda mimba.
In short kama mzazi wako yupo hai; you are blessed beyond your imagination. Kuwa na mtu wa kumuita baba au mama na akakuitikia; ni neema kubwa sana....
Hawataelewa bana ongea kwa codes za ki nshomile!ππππ watu wata desaa
Wacha wee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]For him[emoji8]
Hahahaha dear kumuimbia sio mbaya unaweza hata kucheza [emoji23] .Kumbe nawee umooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sitafuti wiiπKumbe bado unatafuta wii!!
Sasa ile wanchoma ya nani??
Ingizo jipya hili. Who??????
Amen jirani πJirani Safiiii sana...Uwe usiku wa baraka kwako
ππππππNa kwako pia sports lady
ππ§οΈπ§οΈπ§πΏπΏHawataelewa bana ongea kwa codes za ki nshomile!π