Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
hatuwapendi hata πππ kwanza hamtuongezeo kitu, zaidi ya kutumia tuu bora mmbaki na hao ma big boy uchwara πππJikazeniii kiumeee
Hata kama mwaumia
Taarabu enzi hizo
hatuwapendi hata πππ kwanza hamtuongezeo kitu, zaidi ya kutumia tuu bora mmbaki na hao ma big boy uchwara πππJikazeniii kiumeee
Hata kama mwaumia
Taarabu enzi hizo
Mbona hamuwapost kama mnajivunia nao?ππndio pametukuza huko πππ nyie waharibifu, wale walitujenga πππ wametulea enzi tunatembea kutoka Buguruni to city center π€£π€£π€£ to kimara paka kibaha kwa miguu
πππ mbona hampendezagi sasa, maana kama hivyo mlivyo ndio mmependeza basi hasara tayari π€£π€£π€£π€£Mwanamke matunzo kijana wangu,, sio ufanye kusifia umependeza kibaoooo na hujatoa hela ya ilo vaziβ¦ mhh π€£
Tunawaongezea storyhatuwapendi hata πππ kwanza hamtuongezeo kitu, zaidi ya kutumia tuu bora mmbaki na hao ma big boy uchwara πππ
Aah wapiπππππ nikipost kuku wangu wa kienyeji hapa.. mtakimbia wenyewe hapa ππππ
Kupendeza we una kudefine vp? Nijibu kwa hoja, usianze kuliaπππ mbona hampendezagi sasa, maana kama hivyo mlivyo ndio mmependeza basi hasara tayari π€£π€£π€£π€£
πππ.. mtaturoga bure.. muanze kusemaa ooh! Nations hajatuona humu.. kaenda buguruni.. mnaa maana sasa nyieMbona hamuwapost kama mnajivunia nao?ππ
Sio hatuwezi ni hatutakiiiiihivi hamuwezi tafuta zenu hadi mtake zetu tuu ππππ
πππ mie nilie au wewe utaliaKupendeza we una kudefine vp? Nijibu kwa hoja, usianze kulia
π€£π€£π€£π€£ππππ mbona hampendezagi sasa, maana kama hivyo mlivyo ndio mmependeza basi hasara tayari π€£π€£π€£π€£
Halafu kutwaaaa wapo kwetu kwa sie tusiopendeza ππMbona hamuwapost kama mnajivunia nao?ππ
ππππ basi nyie bakini na hao big boy, acha kuku wa kienyeji watupe maishaSio hatuwezi ni hatutakiiiii
Utalia weweπππ mie nilie au wewe utalia
Sema tu ndio vile mtafanyaje sasa hamna namna.πππ.. mtaturoga bure.. muanze kusemaa ooh! Nations hajatuona humu.. kaenda buguruni.. mnaa maana sasa nyie
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ najua unataniaπππππ dah noma sanaaa.. kweli watu wanafaidi.. wengine huenda hadi tukafa tunaweza jikuta hatujawai fumania nyavu kama hii π₯²π₯²π₯²
ππππ mie huyu huyuu.. nilie huku hapa kuku wa kienyeji ana pasha maji kwenye mafiga matatu.. nikaogeshwa na maji ya hiriki.. we ushawai mfanyia hivyo big boy wako ππUtalia wewe
Big boys wanajua majukumu yaoππππ basi nyie bakini na hao big boy, acha kuku wa kienyeji watupe maisha
Our very own photogenic πMtoto mzuriππ
Na kuscreenshot picha zetu tukipostππHalafu kutwaaaa wapo kwetu kwa sie tusiopendeza ππ
Natani wapi ndio hivyo hadi leo bado nakula polygon tu, sema zinajua michezo kwenye 4 by 4 π€£π€£π€£ ila hata kutembea nae soo.. mida yetu ni usiku ,π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ najua unatania