cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Uwe na amani shos ake mie teinaaaaaaaaaa!!![]()




Nikajua ndo kila mtu ashike 40 zake.
Uwiiiiih
Uwe na amani shos ake mie teinaaaaaaaaaa!!![]()




Nliamka saa 10,, nimemalza kusoma nowWee hujiandai na kikaango?![]()
Khaah kisa nini shos!!!??? soon ratiba zinanyooka utafurahi mwenyewe mbona!!
Nikajua ndo kila mtu ashike 40 zake.
Uwiiiiih
Yaan mwenyewe niliamka SAA 10 nkasomaa wee, khaa nkaona wenge linakuja nkaamua kuweka pembeni acha nipooze fuvu kwan, ntakuja kuwaka buree,Nliamka saa 10,, nimemalza kusoma now





Nimeona Mock 4m 4, mbna huu mwaka n mapema,. Si inakuaga August?Khaah kisa nini shos!!!??? soon ratiba zinanyooka utafurahi mwenyewe mbona!!
Ndio shos nipo nasimamia ....mambo ya Sensa yamevuruga mamy Ndiomana!!Nimeona Mock 4m 4, mbna huu mwaka n mapema,. Si inakuaga August?
Bila kahawa asee sitoboi,, huwa nkiamka mapema kama saa 10 hv cha kwanza ni kutafuta kahawa ilipoYaan mwenyewe niliamka SAA 10 nkasomaa wee, khaa nkaona wenge linakuja nkaamua kuweka pembeni acha nipooze fuvu kwan, ntakuja kuwaka buree,![]()
Kila la heri kwaoTANGAZO LA NDOA.
Mwenye pingamizi au kizuizi awahi kanisani usharikani.
Kumekuchaaaaah,View attachment 2275176
Aaaah kumbeee, afu kweli etiNdio shos nipo nasimamia ....mambo ya Sensa yamevuruga mamy Ndiomana!!
Sasa nenda ukapate na kashata kidg.Bila kahawa asee sitoboi,, huwa nkiamka mapema kama saa 10 hv cha kwanza ni kutafuta kahawa ilipo
Raha iliyoje atajifungua ndani ya ndoa halali.Kila la heri kwao
Kashata huwa wanatumia kupunguza uchungu,, ila kama una tengeneza mwenyewe sukari kidogo tu,,the unaisikiliziaSasa nenda ukapate na kashata kidg.
Unaitengenezaje? Tho mie sijawahi hata kutumia na sio mpenzi.Kashata huwa wanatumia kupunguza uchungu,, ila kama una tengeneza mwenyewe sukari kidogo tu,,the unaisikilizia
Yeah ndoa ni barakaRaha iliyoje atajifungua ndani ya ndoa halali.
Kheri kwao William &Faustina.
Unanunua ile africafe unachemsha maji unaweka kwenye kikombe kama unavyokoroga tu chaiUnaitengenezaje? Tho mie sijawahi hata kutumia na sio mpenzi.
Hautaki mambo ya kunanilii gizani Kama pakaSasa wee kutongoza ili uwe na confidence, mwenzio atazame chini au a one aibu? Kwenye kutongoza n hivyo na kwenye kuzagamuana? Ndo utasikia zima taaa, mie sizimi taa nataka tuonane live kabisaa.![]()
HaswaaaaahYeah ndoa ni baraka
Mapenzi ya dhati
Kiasi gan yaan teaspoon kwa kahawa, nisije zidishaUnanunua ile africafe unachemsha maji unaweka kwenye kikombe kama unavyokoroga tu chai
Khaaaah gizani tena? Wee ukute jamaa ana govi, au ana madonda mapajani, pumbu zimelika, km ugonjwa wa Pumbu erosion.Hautaki mambo ya kunanilii gizani Kama paka
Nishawahi kumkatalia mwanamke aliponiambia nizime taa.Nikamjibu Sisi siyo mapaka shume Hadi tugegedane gizani,au unataka unichome kisuakakausha




sitakiiiii.