Alafu issue sio tu vistick kuna douching kuna wengine wanatumia sabuni kali zinaua mpaka askari walinzi wa uke kuna wengine maji wanakunywa mpaka wakisikia kiu na wakinywa wanapiga trumpet glass nzima hashushi
Pointi ya pili si wote wanaweka vistick huko chini lakini wanapata uti .
Vyoo vingine vichafu hapo huwezi kukwepa uti
Ndo maana bora mtu usimame tu kwa choo public
Ni mjadala mrefu visababishi ni vingi mojawapo ni irrational use of antibiotics pia na uuzwaji holela wa dawa so far ndo mana TMDA imepewa nguvu pia wameondoa maduka ya dawa baridi na pia kubana leseni za biashara ya pharmacy
Sababu nyingine ni za wanawake wenyew wanafanya mambo mengi mengi uko chini na pengine japo si hoja sana ni kuhama kutoka pit latrine kwenda izi VIP