sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Nilitegemea uniite na mie da shem... nije nione neema za jf
Aiseee kumbeYule aliyetikisa
Mwenyewe unajiona mbibi..😀😀😀😂😂😂😂😂 dogo haina haja ya kujitetea
Uliiona ukajibu kabisa ndio nikafuta.Baby doll picha sijaonaa
Hujawahi kuwaona mtu mbaya ?. Mbona wapo wengi sana hao wapakwa poda
U see nowSikuiona vizuri😢😢😢😢Uliiona ukajibu kabisa ndio nikafuta.







mbona huna chupa mkononi sasa.. Basi baki huku huku
Wazee wa kazi tunaamka viti virefu mida ya kazi. Halafu raha ya huku hata wale wazee
wanaokamata wanywaji kabla ya muda hawajagi huku.
Itabidi nihamie kwenye ule uzi wa waleviView attachment 1254436
Ili ukanitie moyo huko gym au?Naomba unipitie tuende wote
Mrembo selfie yako bado hujatupia ehHahahaha
Hata mimi huniaminii?!
Wewe hautakiwi kaka shem.Nilitegemea uniite na mie da shem... nije nione neema za jf
Huu mfurugo wake sio mdogo.mfurugano wa mapensi
Oooh!! Basi aliona kwa niaba yako.Mdogo wangu![]()
I was there before; i'm coming back in a supernatural speed
Mungu asaidie Mimi nije huko ulikoI was there before; i'm coming back in a supernatural speed
