Selfika na JF: Snap it. Show it

Unatumia Nini kuyafanya yawe meupe zaidi?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kuna dawa hivi mie kuna mtu aliniletea kutoka SA, sema imeisha karibuni tyuuh, bhana wee inaumiza ila, unaipaka kwenye meno inakaa km dakika 15 ndo unaanza kusugua,

Aseeeh mabadiliko nimeyaona, meno yangu ni meupe tangu mda, ila baada ya kutumia hii dawa yamezidi kuwa meupe, ndo nahangaika kutafuta madukan.

Napenda mnoo meno kuwa meupe, nafeel Comfortable.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…