Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
Achana nayo 😁😁Nikiweka picha inagoma
Achana nayo 😁😁Nikiweka picha inagoma
NaamYeah, ni kweli. Kila mtu anatumika kwa nafasi yake, sio lazima kuwa Mchungaji.
Assssaaaaaaanteeeehhhh!!! Mtoto Rangi rangiii lipss sasa


Aiseee watu walipewa lips buana

Wewe unatamanije lips za mrembo? Au wewe dume nini?🤣Assssaaaaaaanteeeehhhh!!! Rangi rangiii lipss sasa![]()
Hata mimi huwa natamani shepu yake😋Wewe unatamanije lips za mrembo? Au wewe dume nini?🤣
Khaaah!! Sijatamani hata nimeappreciate bana!Wewe unatamanije lips za mrembo? Au wewe dume nini?🤣
Hebu nione ya kwako NuzuHata mimi huwa natamani shepu yake😋
Mungu akupi vyote ndio mimi yaani shepu ni ulimi 😁Hebu nione ya kwako Nuzu
Hizo nazo zina mvuto wake hofu yako tu.Mungu akupi vyote ndio mimi yaani shepu ni ulimi 😁
Weee Nuzu mshepu unao bana acha kufuru ujue!Mungu akupi vyote ndio mimi yaani shepu ni ulimi 😁
Mmh nikiwa gizani sijulikani mbele wapi wala......wapi🤨Hixo nazo zina mvuto wake hofu yako tu.
Unamkosoa Muumba wetu sio poaMmh nikiwa gizani sijulikani mbele wapi wala......wapi🤨
Mwe niliwahi kutupia picha ya kugeuka nyuma zisikuchanganye tule tuwipsiii 😁😁Weee Nuzu mshepu unao bana acha kufuru ujue!
Dah kweli aisee Asante kwa kunikumbusha🙏🏽Unamkosoa Muumba wetu sio poa
Uko vizure mamaaa!!Mwe niliwahi kutupia picha ya kugeuka nyuma zisikuchanganye tule tuwipsiii 😁😁
Mama Mchungaji...Daah I'm short of words mpendwa....It means a lot to me.... Glory be to God. A big Amen
Tuombe uzima mkuu, naamini ipo siku tutaonana. You are blessed 🙏🙏🙏
Nafikiri humu hatushindani kwa uzuri na mwonekano.Dah kweli aisee Asante kwa kunikumbusha🙏🏽