Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,482
- 203,156
basi nihurumie, emu jiwekeHahhha angalia usitengue mapaja hayo.......nimeyawona
Kata kichwa
Kata vidole
Jitupie dk 5, jifute...fata hii mbinu ni nzuri sana 😂😂
basi nihurumie, emu jiwekeHahhha angalia usitengue mapaja hayo.......nimeyawona
Naogopa nikiweka mtashtukaHapo umenizidi kitambi







Ni ya muda mkuuHii picha bado mpyabkabisa, muda picha imepigwa na kupostiwa vimepisha dk chache
Ngoja niweke ya kitambi changu Cha viporo vya ugaliKwamba hutapendeza machoni pa watu au huwezi kwa nini?
Weka tu kama tulivyo fanya sisi
Tujikubali banaAcha kabisa![]()
Ngoja mie nitie ya kitambi ...Tujikubali bana



basi nihurumie, emu jiweke
Kata kichwa
Kata vidole
Jitupie dk 5, jifute...fata hii mbinu ni nzuri sana![]()
Server zitapata hitilafu kwa muda.utashangaa tu uzi umefutwa!


Sister sijaiona yako.Ntazingatia
umenikomalia mpk basi
Naogopa nikiweka mtashtuka
Kitambi Kama pipa yaani![]()
Ukiweka nitag, nione kama kinalingana na changu 😂Ngoja mie nitie ya kitambi ...
Ya vidole hapana kwa kweli![]()
Hivi wewe yako ipo humu?
Zingatia tu Dada na usisahau kunitag.Ntazingatia
umenikomalia mpk basi
Miguu TenaUkiwa na kitambi piga sura ficha macho au midomo, au jipige miguu mbona rahisi











.Acha fujo
Aisee...kitambi changu hakina mfanoUkiweka nitag, nione kama kinalingana na changu![]()


Umeanza lini hii tabia?