Zemanga zoze
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 1,019
- 1,734
Huu uzu haunifai ngoja niende kwenye Uzi wangu pendwa wa walevi
Ngoja niitume link kwa uzi wetu uleNipe link ya ulipotuma.
Dah nimepita hapo nikitokea Moroco ngoja nikigeuza basi takucheki kuna hicho kipub karibu na stand naweza kupaki hapo
NionyesheNishatuma kitambo sana.
Tafuta humu humu utaiona.Nionyeshe
Nimetafuta sijaonaTafuta humu humu utaiona.
Ngoja niitume link kwa uzi wetu ule
Pole sana.Nimetafuta sijaona
Nionyeshe bhana...Pole sana.
Dogo una kichwa kigumu sana.Nionyeshe bhana...
Hutaki nione selfie ya ustadh eng Zurri?