Selfika na JF: Snap it. Show it

Na huu ndo ukubwa. Hongera my jirani
 
safi Sana
... Waanzaje gombania m2?
 
Watu wote wangekua km wee, uzinzi na umalaya ungekoma km sio kuisha. Hii ndo inatakiwa sasa.
 
Watu wote wangekua km wee, uzinzi na umalaya ungekoma km sio kuisha. Hii ndo inatakiwa sasa.
😁😁😁 uzinifu kuisha means wote tuolewe/ men waoe/ uchepukaji usiwepo, hapo ndio tunaweza kumaliza uzinzi/ uzinifu… kitu ambacho sio rahisi kw dunia hii ya sasa…

Ila suala la kugombania bwana Ke kwa ke ni ujinga wa kiwango aisee, ilo linazuilika na kuisha watu tukiamua.

Ukipendwa, pendeka
Ukiachwa, achika
Ukishindwa piga u turn mrudie muumba wako.
Mbona easy tu 😁😁
 
I don't care who you are
Where you from or what you do
Just as long as you chasing money
Do what's right never give up on it
Bring it on bring it on
Are you ready unu ready
No matter how you try don't you ever fall
Keep your head up high
And standing tall
 
Aisee......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…