Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Akisema "hapana"
Hakuna wa kutengua.
Akisema "hapana"
Mungu akutunze shos, tuendelee kuenjoy hekaheka zako. Jikalie zako tu home kwa amanina balance shobo zangu, kuchomwa bisu za tumbo nan anataka? Dona na pitiku bado mtamu wee.
Yeess hata watu wa karibu wenyewe nachaguaga,
Nywele zako au?
Za mchongoNywele zako au?
Sasa kama ndio hivyo nahamia uzi wa vyakula.
Your last statement though 🤣😂😂Dada,
Nakupenda.
Leo nimemuandikia mdogo wako uzi matata kabisa kumu wish happy birthday.
Mara ghafla, mods wakaufutilia mbali.
Hii imekaaje mkuu?
Kiukweli moyo wangu ni mzito sana, hiki kitu wamefanya mods kimenitia ufa moyoni, kimeupasua katikati.
Au pengine huyo dogo anatoka na mmoja wa moderators? 😡
Hahaha baki tu hukuhuku captain. Mpostie Anne picha yake, then tunamalizanaSasa kama ndio hivyo nahamia uzi wa vyakula.
Uende wapi uukimbie Uso wangu uuuh?Sasa kama ndio hivyo nahamia uzi wa vyakula.
Kuna namna Mods wanashirikiana na wakuu wa anga.Dada,
Nakupenda.
Leo nimemuandikia mdogo wako uzi matata kabisa kumu wish happy birthday.
Mara ghafla, mods wakaufutilia mbali.
Hii imekaaje mkuu?
Kiukweli moyo wangu ni mzito sana, hiki kitu wamefanya mods kimenitia ufa moyoni, kimeupasua katikati.
Au pengine huyo dogo anatoka na mmoja wa moderators? 😡
Tuma tena mremboUmeniona 🤣🤣🤣🤣
Si nimefuta dk ile ile
Haina shida.Akisema "hapana"
Hakuna wa kutengua.
Dah nmecheka sana hii imeisha hio
Kuna uzi wa mshana wa pombe itabidi nikapige kambi huko.Uende wapi uukimbie Uso wangu uuuh?
Kama ukienda vyakulani,huko nako nipo oooh!!
Kwa Sauti ys Shusho Christine.
njoo nkufanyie massage zitule hizo mbavu zakombavu zangu mie.
Chukua mama hio 2pac anakuelewa ila anaogopa kusemanjoo nkufanyie massage zitule hizo mbavu zako
Kwa hio nikiweka full hapa na nyie wawili mnaweka full?Hahaha baki tu hukuhuku captain. Mpostie Anne picha yake, then tunamalizana
Nako nipo.Kuna uzi wa mshana wa pombe itabidi nikapige kambi huko.