Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Amen jirani nashukuru sana!
Asubuhi utakuwa vizuri jirani..
Asubuhi utakuwa vizuri jirani..
Ndiyo sijawahi fanya birthday.Mbio
Ulisema hujawahi fanya
Birthday![]()
Nimetumia DikshenariAisee
Na msisitizo wa kizungu
Kaka yako

Kwahiyo wote ambao bawajawahi fanya birthday hawana ujauzitoSi ndio hapo
Mtu hajawahi kufanya
Birthday
Anapataje ujauzito![]()

Mnooooooo!! 🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️Legend![]()
Kaka Yangu humu JF hayupoKaka yako
Taarifa hizo
Zimemfikia![]()

Utoke wapiKwahiyo wote ambao bawajawahi fanya birthday hawana ujauzito
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Keki na ujauzito vinahusiana vipi?Utoke wapi
Ulipenya penyaje
Hadi uingie![]()
Tamu
Tamu
Hapo hapo
Ulidhani ni sukari

Na ikawe hivyo jirani.
Daah tumechekaje hapa. Na sikuwahi kuona kichwa cha Dorice before muda wote na mawigi.
Mbona na mimi sijawahi kufanya birthday?Si ndio hapo
Mtu hajawahi kufanya
Birthday
Anapataje ujauzito![]()
SiaminiMbona na mimi sijawahi kufanya birthday?
hataDuh
Hadi nimemkumbuka
Muuza samaki wangu
Nitakuja huko soon
Yan pamechekesha, na mwenyewe Dori alivyobaki na mshangao 🤣Daah tumechekaje hapa. Na sikuwahi kuona kichwa cha Dorice before muda wote na mawigi.
Jamani hivi Sada bado ana zile nguvu zake, I wish awe nazo amsaidie mbuzi Nandy.
Unatuachaje hivi hivi Heaven Sent, hebu nibarikiNiwacheeee
NiwacheeeeeeSiamini
Kama
Ulikosa moja wapo ya zile vocha