Ni mimajiiii tu💦💦💦💦💦😂😂😂🤣🤣Wacha bhana
Kwa hiyo asubuhi
Ilikuwa ni mawota ling![]()
Hahah subir nikuwekee aunt
Asante wigeIla
Ana macho mazuri
Madam mwenyewe huyooo
Watu wa june wana makelele sanaaa
Wachokozi
Wabishi
Akianza kuongea saa 1 ni mpaka saa 4 kasoro…
Happy 30s dogo![]()






Wacha bwana!Sema nn ww ni mzur huna mambo mengi tuma full basi nione ugonjwa wangu
Asante aunt ukanywe chai sasaMadam mwenyewe huyooo
Lips
Ahsante sana aunt![]()

Wewe huyu
Una roho ya huruma
PM lenyewe lina komeo


Eti tuna huruma
Mdogo wangu mimi nimeshajipanga hapa na kapu la kupokea zawadi za birthday
Nautangazia umma wa selfika kuwa mimi ndiye nimeteuliwa na familia kwa ajili ya zoezi hilo



Bado nasubiri lile darsa la lipstick..Jioni natoka na Baba mtumishi tukale birthday.
Even my mom ni wa june 😁
We umeona hapo hadi Mjep ni team June.
Kuna namna huu mwezi una baraka za kipekee.
Tumewaacha sasa kwenye kundi la watoto.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kumbe hadi Maza amezaliwa mwezi wa kibabe?Even my mom ni wa june
Nawajua very well… mna kelele sana hata kwa kitu kidogo cha ku ignore



.tuma nambaWee cuzooo tuma vocha PM acha ujanja wako lol.
nmeona machungwa+1,
Napokea zawadi.View attachment 2267183View attachment 2267184
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hbday mama Junia+1,
Napokea zawadi.View attachment 2267183View attachment 2267184
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wapenda kula utawajua tuHappysis akee.
nakuja kula
![]()
