Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Jamani nilikuwa wapi? 🤣🤣 ningemnangaaaaMama yangu, mwenzako naye juzi alikengeuka
Jamani nilikuwa wapi? 🤣🤣 ningemnangaaaaMama yangu, mwenzako naye juzi alikengeuka
Hapa utafikiri mtoto mzuri kweli
Jamani….Aisee...
😁😁Hiyo “safiii” yako imechangamka 😁
Kuna muda nikitulia kwenye camera unaweza hisi sijawahi kusema hata uongo mmoja 🤣🤣🤣Hapa utafikiri mtoto mzuri kweli
Afu moja aligeuka nyuma; kwani mnatumia nini siku hizi wenzangu? Naona nimebaki peke yanguJamani nilikuwa wapi? 🤣🤣 ningemnangaaaa
Haha fungua PM nikusalimie
Zamani
Yaani hapo ni kama huna dhambi hata mojaKuna muda nikitulia kwenye camera unaweza hisi sijawahi kusema hata uongo mmoja 🤣🤣🤣
Dogie wewe 🤣🤣🤣🤣Zamani
Ningeweka kioo
Hapo chini
Dadek
Naelekea ya tanoUshapata safari zako?
Ahsante, Mimi ni team Mwakasege; ulishasema hurandani na sisi 😁😁😁😁Naelekea ya tano
Karibu ni hapa
Jirani na Shell
Ndivyo nilivyo bana 🤣Yaani hapo ni kama huna dhambi hata moja
Shoutout kwa nearest selfie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Afu moja aligeuka nyuma; kwani mnatumia nini siku hizi wenzangu? Naona nimebaki peke yangu
Na mimi nikipiga nearest selfie, nitajazia?Ndivyo nilivyo bana
Shoutout kwa nearest selfie![]()
Mama yanguuuuuuuuuuuuLitajaaa kama hivi… na pia pendelea sketi za marinda 🤣🤣 View attachment 2266843
Na tattoo nimchore

MbonaDogie wewe![]()
Kwenye bega au titi la kushoto ? 🤣🤣🤣 utapendeza mwayaNa tattoo nimchore![]()
Unajua nini madameAhsante, Mimi ni team Mwakasege; ulishasema hurandani na sisi![]()





dadeq usku wa kizaaa huu binti 



songa alisema chunga sana pindi inapofka usku oyhaaaaaa sijui kama nitalala vizur Leo 