Selfika na JF: Snap it. Show it

Ameeeeeeeen!!!!!!!
 
Sasa mtu akitaka kukuacha; utamlazimisha aendelee kuwa na wewe? Daah hiyo ndoa yenyewe imedumu kwa muda gani?

Kwa kweli wakae tu kwa kutulia
 
Sasa mtu akitaka kukuacha; utamlazimisha aendelee kuwa na wewe? Daah hiyo ndoa yenyewe imedumu kwa muda gani?

Kwa kweli wakae tu kwa kutulia
Anasema miezi 8,
cna mbavu hapaaaah.
Akaulizwa umefaidi nn kwake, eti hakna zaidi ya kuzururishwa zenji, Mombasa, na hotel za kifahari hapq mjini kupiga ulabu,

Nkasema ama kweli upele humuota asiye na kuchaa,
kuna mpemba sahivi ndo yupo mjengoni, kidampa kaachwa solembaaaaa, ila hawa watu sijui wakoje wanabadilisha mnooo.

Hawaogopagi hata, A naye mdomo tyuuh mbna hana lolote sahivi, kachundaa, haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…