ubuyuuu si kaumwaga juzi chimbo, sasa A anasemaje hawa watu mnawachekea, dawa yao ukiwa name na akitaka kukuacha unampa tukio kubwa, hivi mnakubali vipi kuachwa kirahisi?
mbavu cnaaaa, nkawa najisemeaaa watu watachezewa watakuja kustuka too late, hawana chochote na magonjwa juu,. Waanze kuwapa tabu ndugu zao.
Maana hawaaambiliki yaan lol.