Selfika na JF: Snap it. Show it

Namna nyingine ni ipi ?
 
Ah nimeipenda
Madaktari mna umuhimu kwetu sana
Wengine wana huduma nzuri mno wanayoitoa kwa jamii .. kuna paediatrician mmoja namkubali sana that man is humble .. Mungu ambariki kwa kweli .
Hapa kwetu kuna madaktari wazuri mno sema ndio kwa bahati mbaya unaweza kumbana na wasio bora sana kwene hiyo fani ila wazuri wapo.
 
Haikwepeki japo ushauri mzuri sana
Tunajifunza mno kupitia kugoogle mfano kuna situation unaweza pitia hujui cha kufanya , mfano
Postpartum depression kupitia Google unaweza pata ushauri jinsi ya kukibaliana na tatizo .
Mimi huwa nagoogle kiukweli ila kutumia dawa sijinunulii tu lazima nimuone dr. Anachosemea Spider nadhan anasemea wale watu akigoogle akaletewa majibu tofauti na atakayoambiwa na dr mushkeli unaanzia hapo kumbe tunasahau kuna muda google taarifa zinawekwa si zote ni sahihi. Ila mara nyingi inasaidia kutupa mwanga.
 



Inatupa mwanga kwa kweli , Google inatusaidia mno
Ah kubishana kupo ndio .. inabidi healthcare workers waendane na hilo tu ... Hakuna jinsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…