Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Last week sijaangalia, imenipita hiyo.

Ila alikua na ubabe sana af akataka kuwadhulumu wale waliompa sapoti.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ilikua inamuuma wenzake kula mali alizochuma na mumewe, haijui dini huyo atakua
Saa 1 hujafika nyumbani? Unapitaga wapi πŸ˜‚πŸ˜‚

Ni mbabe bado, ila washamkomesha kwa kumuibia karatasi na simu.. sahivi anahaha…

Sasa inakuuma nini? Na wakati mtaendelea kuzichuma nyingine zijae? Wake wenzKe si walikuwa wanafanya kazi shambani pia…
 
Back
Top Bottom