Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Aah hawa tena!πππWatu wa hapa? Sifa za mchongo ndio zimejaaa ππππ
Aah hawa tena!πππWatu wa hapa? Sifa za mchongo ndio zimejaaa ππππ
kamera tu mkuu siunajua mambo ya filters!Ww hapo binti wa kibantu kbsa mwanaume yeyote lzma ageuke
Hujaenda kwenye sensa Madamekamera tu mkuu siunajua mambo ya filters!
Ushapoteana..Cheupe hko anapaka rangi mwenye kucha ndefu huyo najua ww hupend kucha ndefu
@Lenie nibless lips tu jamanAah hawa tena!![]()
πππ kuna kitu nimekumbuka, nimechekaaaAah hawa tena!πππ
Sensa bado nadhani ratiba ratiba zake zinaanza mwezi july wee nimeomba pia hata kama hela ndogo Ivoivo!!Hujaenda kwenye sensa Madame
Angalia usikutane na ngosweSensa bado nadhani ratiba ratiba zake zinaanza mwezi july wee nimeomba pia hata kama hela ndogo Ivoivo!!!
Saa 1 hujafika nyumbani? Unapitaga wapi ππLast week sijaangalia, imenipita hiyo.
Ila alikua na ubabe sana af akataka kuwadhulumu wale waliompa sapoti.
πππ ilikua inamuuma wenzake kula mali alizochuma na mumewe, haijui dini huyo atakua
Hahahaaahahaaaaaa! Umenikumbusha zamani sana kiswahili Ngoswe penzi kitovu cha uzembe!Angalia usikutane na ngoswe
Ila walimu mmejazana kwenye sensa jaman hamna huruma na sisi joblessHahahaaahahaaaaaa! Umenikumbusha zamani sana kiswahili Ngoswe penzi kitovu cha uzembe!



Walimu masikini wenye njaa kali kama sie ndio tumejazana sio sensa tu kwenye shughuli kibao za serikali!!ππππ€π€π€Ila walimu mmejazana kwenye sensa jaman hamna huruma na sisi jobless![]()
Nimefika boss lady please do the needfullMpaka Mjep aje mie Kurudia rudia sitaki mwite basi!
We ni lizuri bhn no doubtWatu wa hapa? Sifa za mchongo ndio zimejaaa ππππ
Hahaha Sema kwenye kusimimamia mitihan na kuisaihisha mnapataga shavuWalimu masikini wenye njaa kali kama sie ndio tumejazana sio sensa tu kwenye shughuli kibao za serikali!!![]()
Nimefika madam ebu tuone hiyi nakkedMjep bado upo?? Nataka nipite nakeddd ni shwaaa dakika sifuri nayeyuka!
Umesahau uchaguzi mkuu!!πππ walimu tuna tabu tupu;πΆπΌββοΈπΆπΌββοΈπHahaha Sema kwenye kusimimamia mitihan na kuisaihisha mnapataga shavu
Hahahaaa!! Haya usitoke sasa sitarudia tena kukuita!!Nimefika madam ebu tuone hiyi nakked
Walimu mna raha sana hivi ajira mpya mmeshapataUmesahau uchaguzi mkuu!!walimu tuna tabu tupu;
![]()