Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Una balaa we mtoto 😂😂Tunashukuru dada ila hatutaki rinda fupi.
Kitu ndefu hii imevuka goti
Una balaa we mtoto 😂😂Tunashukuru dada ila hatutaki rinda fupi.
Haupo singleSanasana vumbi na uvundo.
Nguo ikikaa muda mrefu bila kuvaliwa lazima niitoe nikiwa nimevaa barakoa na nifue..
Nikitoa kwenyw bag kavu kavu basi lazima niimbe pambio zote usiku.
Yaani vyote vinavyohisiwa kupelekea hii hali niliacha lakini wapi!
Mwee kichwa changu kilivyo kizito sielewiHahaha changamsha bongo ilo… yuleee i know you know him, we bana wee.. yule mrefu![]()
Mwili wastani..
Manager…sijui ila ni in charge..
Rich..
Married…
Ng’mbo …

Mbabaishaji sana wewe😆Fire hapa kfc 😄😄natafuta senene
Zoomed in dyadya 😂😂Dyadya uko vzuri😍😍
Hatuzipokei hizo faraghani.Una balaa we mtoto
Kitu ndefu hii imevuka goti
Case closed
Hamna mkuu spiderMbabaishaji sana wewe😆
Hayaa bhnHamna mkuu spider
Nilikua nakuchkulia poa kumbe yaliyomo yamo dyadya, heshima yako mkuu🤣🤣🤣Zoomed in dyadya 😂😂
Nearest selfie 😂😂Kumenishtua sana😂😂
Mimi nipo kwenye namba tatu na Heaven Sent .Be intelligent or else strong !View attachment 2264027
😂😂😂🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣 weee Usifanye nikakupigia video callNilikua nakuchkulia poa kumbe yaliyomo yamo dyadya, heshima yako mkuu🤣🤣🤣
Kwamba na mimi nikijaribu itatuna hivyo?Nearest selfie 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Hallelujah
Ndiyo madam 😊Kwamba na mimi nikijaribu itatuna hivyo?