spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,530
AweeeLips denda 😋😋😋
AweeeLips denda 😋😋😋
Umeisha tayari😃😃😃 utamaliza mwezi unatambaaaMan usione kimya asubuhi nilitembea na wale wanaosafisha bara bara aisee. Ila ni serious casualties.
VindevuuuNapita kuwasalimia
View attachment 2263148

Hahaha!! 🤣🤣🤗🤗🤗🤗🤗🤗Watu vipenzi vyao
Enhee.....WiFi anakufaidiAweee
financial services nibariki na moja hawa bus driver wanguYou're so handsome mkuu spider👍
Ndevu izo sio vindevuVindevuuu![]()
Senior bachelor hapaEnhee.....WiFi anakufaidi
Kipindi cha mwamba.. ukweli raha tulikula, unaingia kazini una set mambo unawahi kula bata mwanza .. ila sasa mambo ni jehanamu hela inapatikana kwa mshumaa 😃😃😃😃😃Wazee mlikula nji kipindi kile🤣
Niitie yule mzungu basi nimsalimie hapa hapa mwenuekiti😂😂Hahaha!! 🤣🤣🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Enhee....Senior bachelor hapa
Daaah, kufuru hiyoNakumbuka mbali sana, trip zangu za mwanza to Chato mwaka 2019 hadi 2021 nalala mwanza nafanya kazi chato![]()

Man usione kimya asubuhi nilitembea na wale wanaosafisha bara bara aisee. Ila ni serious casualties.



Hahaha mkuu unanikumbusha kuna kipindi nilikuwa nafanyia kazi porini..jioni nawasha gari huyo Karatu au Mbulu.Kipindi cha mwamba.. ukweli raha tulikula, unaingia kazini una set mambo unawahi kula bata mwanza .. ila sasa mambo ni jehanamu hela inapatikana kwa mshumaa 😃😃😃😃😃
Ujana tu comrade 😃😃.. Sasa hivi tunazikumbuka zile helaaDaaah, kufuru hiyo![]()
Ndevu izo sio vindevu
ndevuStrawbella Alayna wherayuuuu????! come this way pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!Niitie yule mzungu basi nimsalimie hapa hapa mwenuekiti![]()
😅😅😅ndevu
😃😃😃 Sema kipindi hiki ramani hazina North wala South.. ukisema unachoma mafuta kila siku.. lazima roho ikuume. Haya mambo ya nyakati zake..Hahaha mkuu unanikumbusha kuna kipindi nilikuwa nafanyia kazi porini..jioni nawasha gari huyo Karatu au Mbulu.
Na kuna kipindi nilikuwa porini kule Mkuranga ndani ndani jioni narudi Dar.
Lakini wese lilivyopanda hivi mahesabu ni makali sanaa
Namba 9 had leo