Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakuambiaje ukipata manzi unamuelewa honga, vigari hivi vya mil 16-20 (kama uwezo ni within)unashindwaje kumhonga mwanamke unamuelewa, mwanamke wako ni reflected image yako, akiwa vizuri sifa zinarudi kwako, hata kama mtu aje akukute una kanda mbili atakupigia salute, akizingua ni juu yake, atajua mbele ya safari.

Yaani unamwagia daily mishahawa halafu kwenye matunzo ni 0, ni ugaidi.
Kutomtunza mwanamke ni UGAIDI

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Mwambie tamsana hainaga ushemeji mazee ukiingia kwenye anga Zangu mi napita tyu!! 🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣( in cocas voice)
😂 😂
 
Back
Top Bottom