Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ah sahihiYaan kulee ni full kuenjoyy, napapenda mnooooo.
![]()
Nilikaaga maeneo ya kwa Azizi Ali
Ah sahihiYaan kulee ni full kuenjoyy, napapenda mnooooo.
![]()
😂😂😂😂 ...hunaga mbambamba Mdogo anguKwanza nna jambo dogo mie?
Nikiamua kujitoa ufahamuu, huwa nasahau kabisaa niko dunuiani.
Wee buzza nomaaaa, yaan kule khaaaah ni ulayaaa kabisaa.
Vibaya hivyo jomoneee dada,Mdogo angu aibu naona Mimi
..maana hata sielewi imejukuta tu imekupita kipenzi changu
![]()





Ewaaa hutojuita hata nzi hato kugusa😃😃😃 utaguswa na shemeji na mie kidogo tu kwenye kuku protectHehehehee..embuuu
SijaionaT umeiona series ya sherlock Holmes
Jikute tu,, utakufa majiunataka nipate case ya mauaji? Afu rumours itasema Viagra. Kumbe pafomansi.

Yeah mida fulani hiviHata mimi nimegundua hilo.a
Temeke yote ni amsha amsha.Ah sahihi
Nilikaaga maeneo ya kwa Azizi Ali






Bado mambo mazuri yaja Mdogo angu..utakuepo tu..Vibaya hivyo jomoneee dada,
Ila hope ilipita salama na ilifana.
...hunaga mbambamba Mdogo angu
Buza kule fireeeee..hapaboi hataa...kwa shughuli Sasa loh!!..pako pambee






usinichekeshe hivi unajua kulee watu wamevurugwa, hebu nikae kmyaaa, uwiiiiiih. Yeeeh,, ninayoSijaiona
Unayo wewe ?
Mnooooo....usinichekeshe hivi unajua kulee watu wamevurugwa, hebu nikae kmyaaa, uwiiiiiih.
Nimekumbuka kitu mweeeeh.
Inaonekana nzuriYeeeh,, ninayo
The way unajibu baadhi ya questions and statements,,, nahitaji darasa
Uko familiar ni character ya sherlock Holmes si ndio?Inaonekana nzuri
Ni ya genre gani ?
Kivipi sijaelewa hapo ?
Weraaaaah weraaaaah nasubir kwa hamu.Bado mambo mazuri yaja Mdogo angu..utakuepo tu..
Namshukuru Mungu..ilikua kheri