Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Natamani niuone huo uzi unatuchamba vibonge sieItakua Yaliwakuta kipenzi!! Akaona aje kutuchamba mambonge!!

.Natamani niuone huo uzi unatuchamba vibonge sieItakua Yaliwakuta kipenzi!! Akaona aje kutuchamba mambonge!!

.Ahaaaa!! Karibu sana Mkuu sema tutapishana!!Nilikujuza lakini
Natoka huku
Nakuja huko
Ata Mimi sio mnene Sanaa. Sema nahitaji nipungue zaidi ya hapa. Na maendeleo ni mzuri Mpk sasaSitaki ubonge sana ila nataka nyama kiasi ziongezeke.
CocaWala hana maajabu woiiiih
Yanii utacheka ufe!! Sijui title yake inasemaje nimeisahau kidogoNatamani niuone huo uzi unatuchamba vibonge sie.
Hebu tuonee wewe ulivo Saivi!! Mie Saivi nimepungua sana ni nilikua bonge hadi Vibaya!!Ata Mimi sio mnene Sanaa. Sema nahitaji nipungue zaidi ya hapa. Na maendeleo ni mzuri Mpk sasa
WeeeeeeraaaaMabonge hayana shida na mtu yaani. Hakuna gubu. Hakuna mihasira na maugomvi yasiyo na kichwa wala miguu. Hutakuta eti ni li feminist...Ni kuhondomola tu mema ya nchi yaani. Tena usipokuwa mwangalifu na wewe utajikuta unabongeka hata bila kutegemea.
Na hizi siyo nadharia. Ni practicals kabisa laivu![]()

tuna madhaifu yetu pia 
Ah huo balaaYanii utacheka ufe!! Sijui title yake inasemaje nimeisahau kidogo

Hamna kipya hata 😃😃 no hiiAah kiatu kimenipita baba pasta
Nahisi ndiyo hivyo, na mie nilikuwa chembambaaaaa chelewa ikasomeee. Nikanenepa chuoni. Nilivyomaliza chuo nikaendelea na mwili wangu. Sasa hivi ndiyo napungua pungua, nategema nipungue zaidi.Ah ndivyo ilivyo hiyo
Ukiwa mwembamba watamani unene
Thanks dear.Beautiful
Safi sana baba pasta kiatu chenyewe kabisaHamna kipya hata 😃😃 no hiiView attachment 2261065
Sema mrembo...umepotea. umefichwa wapi
YeeeeeehUmeonaa ehhhh!! No way tuendelee kuselfika tu dear

Tupia nione unene wako kipenzi 😘Yeeeeeeh![]()
Huyo mrembo inaelekea upaja wake utakuwa mweupeee😜 unajilia vitamuHamna kipya hata 😃😃 no hiiView attachment 2261065