cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Weraaaaaah weraaaaah
Weraaaaaah weraaaaah
We kimodo bana jiondoe haraka kwenye ukibonge. Nyie wanawake wa kisasa wasomi mnaokula kwa nidhamu ili msiharibike miili. Huwa nawaambia kuwa tuonane baada ya watoto wawili hivi...Vibonge oyeeeee![]()



Msukuma nitakuninia nihame selfika mazima ujue acha masikhara msukuma please sema hutanii basi!!!Leo labda ile mida ya hatari Bosi Ledi. Nilikuwa naumwa ila leo naona nimepata ahueni sana. Kuna haja ya kusherehekea uponaji kwa kujilipua laivu leo![]()
Na umeitoa mpaka rahaaaaaaWeee weeeee weeeeeeeeuuuuweeeeeeeehhhhhh!!![]()



AntonniaNdiyo ndiyo Bosi Ledi.
Ulale salama na malaika wema wakulinde.
The true definition of an African woman!![]()
Hapo nimewasemea vibonge, mie kimodo kweli. Alafu ungejua nakula hovyo mimi ila mwili ndio umegoma kabisa na ninavyotamani kuongezeka daah sinaga tu namna.We kimodo bana jiondoe haraka kwenye ukibonge. Nyie wanawake wa kisasa wasomi mnaokula kwa nidhamu ili msiharibike miili. Huwa nawaambia kuwa tuonane baada ya watoto wawili hivi...![]()
Hakuna kuliwa kama hujatakaUjue kimasihara kuliwa mpaka mwanamke atake vinginevyo hakuna kuliwa.

AntonniaHayaaaaa
Kumekucha
Trakooooo Dada trakooooo hill![]()
😘😘😘😘😘😘!! Selfika full burudaneeeeee🤸🤸🤸🤸!!Na umeitoa mpaka rahaaaaaa![]()
Kabisa yaani.Hakuna kuliwa kama hujataka![]()
Ulikua wapi lakini sikuhizi kuna metadata ujue!!!!Antonnia
Umesikia mwenyewe
Chap kwa haraka
Waweza jikuta waropoka vya ndani kabisaaamwee haipo hiyo.

Subiri ukiolewa na kuchukua mimba utaongezeka tu na kupendeza ajabu!Hapo nimewasemea vibonge, mie kimodo kweli. Alafu ungejua nakula hovyo mimi ila mwili ndio umegoma kabisa na ninavyotamani kuongezeka daah sinaga tu namna.



Nyama za kutoshaaa
Mimi sijaonaaaMie tayariiii.
Sasa km huyu raha iko wapi? Kidogo tyuuh anahema km beberu lilikosa kubambia jike, lol







Tanteeeeeeeeh.Mlale salama
Yutooooooooonnngggggg hatareeeeee!! Hii kuja kuipata kitu lazima upekenyue mpaka!!